• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

RAS Mhinte asisitiza utoaji wa huduma bora kwa wananchi

Tarehe iliyowekwa: August 20th, 2025

-Ataka uwepo wa Mawasiliano kisekta katika utekelezaji wa miradi mbalimbali

-Asisitiza utatuzi wa kero za wananchi

-Hamasa ya kujitokeza kupiga kura tarehe 29 Oktoba iendelee

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndg. Abdul Rajabu Mhinte amefanya kikao Cha Robo ya Nne ya Mwaka 2024/2025 na Sekretarieti ya Mkoa, Wakurugenzi wa Halmashauri na Watendaji wa Taasisi za Umma katika ukumbi wa Karimjee

Katika kikao hicho RAS Mhinte alisisitiza suala la utoaji wa huduma Bora kwa wananchi jambo ambalo ni matamanio na mategemeo yao . “Nchi imekua kiuchumi kwa sasa na maendeleo mengi yamepatikana kwa sababu ya uwajibika unaofanyika na kupelekea jamii ya wana-Dar es Salaam kupata huduma Bora” Alisisitiza RAS Mhinte

Hata hivyo, Katibu Tawala alitaka uwepo wa Mawasiliano kati ya Taasisi Moja na nyingine ili kuleta ufanisi mzuri wa utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam na kuepuka matatizo au changamoto zozote zinazoweza kujitokeza

Vile vile RAS Mhinte alisisitiza kero za wananchi kusikilizwa na kutatuliwa mara Moja. Wananchi wanapaswa kusikilizwa na kuhudumiwa kwa lugha nzur ili watoke wameridhika na huduma walizozipata

Hata hivyo, Katibu Tawala ameongeza kuwa Hamasa ya wananchi kujiandikisha kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025 inapaswa kuendelea kwani huu ni mwaka wa uchaguzi, kwa namna walivyojiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura ndivyo hivyo wanapaswa kwenda kupiga kura

Ikumbukwe kuwa katika kikao Cha Robo ya Nne ya Mwaka 2024/2025 Watendaji wa Taasisi za Umma za Serikali waliwasilisha taarifa zao za mwaka wa fedha ulioisha.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RAS Mhinte asisitiza utoaji wa huduma bora kwa wananchi

    August 20, 2025
  • Dar City yatoa kichapo kwa Ikungi DC kwenye Netball

    August 20, 2025
  • Waziri Jafo ataka Maafisa Biashara kuheshimiwa

    August 20, 2025
  • Dar City yaitikisa Kinondoni MC

    August 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.