Na: Aritha Mziray -Tanga
Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imeendelea kutoa kichapo katika michuano ya SHIMISEMITA 2025 baada ya kuichakaza Ikungi DC katika mpira wa pete(Netball)
Katika michuano hiyo, Halmashauri ya jiji la dar es salaam ilipata ushindi wa mpira wa pete (7/16-2/7)dhidi ya Ikungi DC, ikiwa ni ushindi wa kwanza wa mpira wa pete katika michuano hii.
Michezo hiyo inaendelea katika viwanja vya bandari ,Jijini Tanga, ambapo Dar city inaendelea kuonyesha ukali katika awamu ya awali katika mashindano hayo
Mashindano hayo yanayoshirikisha halmashauri zote nchini yenye kauli mbiu "Jitokeze Kupiga Kura kwa Maendeleo ya Michezo" yameanza rasmi Agosti 15 na yanatarajiwa kukamilika Agosti 29 mwaka huu.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 0738 378 386
Namba ya Mkononi: 0738 378 386
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.