Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ina mipango ya kujenga Hostel ya kisasa katika eneo lake la ADA Estate. Mradi utakuwa na jengo lenye ghorofa moja na vyumba vipatavyo 60. Mradi unatarajiwa kugharimu Tsh. 1.8 Bilioni. Mradi utazalisha mapato kiasi cha Tsh. 900 Milioni kwa mwaka.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 2128800
Namba ya Mkononi: 0713614364
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.