Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ina mipango ya kujenga Hostel ya kisasa katika eneo lake la ADA Estate. Mradi utakuwa na jengo lenye ghorofa moja na vyumba vipatavyo 60. Mradi unatarajiwa kugharimu Tsh. 1.8 Bilioni. Mradi utazalisha mapato kiasi cha Tsh. 900 Milioni kwa mwaka.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 9084
Simu ya mezani: +255 22 2123346
Namba ya Mkononi: 0715046974
Barua Pepe: cd@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.