Mradi wa Redio ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inayopatikana katika masafa ya 91.7 Mhz FM Band unamilikiwa na Halmashauri ya Jiji kwa asilimia 100. Mradi huu ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2010/2011 kwa kuanza na ukarabati wa studio za redio zinazopatikana katika majengo ya Halmashauri Makao Makuu (City Hall) kona ya mitaa ya Edward Moringe Sokoine na barabara ya Morogoro.
Matangazo ya majaribio yalianza kurushwa tarehe 11 Septemba, 2013. Leseni ya Utangazaji (Radio Communication Station Licence) ilitolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) tarehe 9 Mei, 2014.
Halmashauri ya Jiji iliazimia kwamba hadi kufikia mwaka 2017 iwe imefanikiwa kuanzisha kituo cha redio ikiwa na malengo yafuatayo:
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 2128800
Namba ya Mkononi:
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.