• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wakazi wa Mkoa wa DSM kupata msaada wa kisheria bila malipo

Tarehe iliyowekwa: June 13th, 2025

Na: Shalua Mpanda

Kutokana na changamoto mbalimbali za kisheria zinazowakabili wananchi hasa wa mkoa wa Dar es salaam, Wizara ya Katiba na Sheria kupitia kampeni ya "Mama Samia Legal Aid" itaendesha zoezi la kutoa msaada wa kisheria kwa siku 10 mfululizo kuanzia Jumatatu Juni 16, 2025.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Albert Chalamila wakati akizungumza na waandishi wa Habari kuelekea uzinduzi wa Kampeni hiyo ndani ya mkoa huu unaotarajiwa kufanyika katika viwanja vya Maturubai Mbagala ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (MB).

"Napenda niwafahamishe wakazi wa mkoa wa Dar es salaam kuwa kampeni hii itazinduliwa siku hiyo na baada ya hapo itaendelea katika Halmashauri zote ndani ya mkoa huu". Alisema Mhe.Chalamila.

Aidha, amesema katika zoezi hilo huduma zote zinazohusu msaada wa kisheria zikiwemo Mirathi,Migogoro ya adhi,Ndoa,uandishi wa wosia pamoja na nyingine zitatolewa na wataalamu wa masuala ya Sheria.

Naye Mkurugenzi wa Huduma za kisheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Ester Msambazi amesema kutokana na changamoto zilizopo katika Jamii kuhusu uelewa wa masuala ya kisheria,Serikali iliamua kuanzisha kampeni hiyo ya "Mama Samia Legal Aid" ili kuwsaidia wale ambao hawana uwezo wa kupata huduma hizo.

Kampeni hii itakuwa no msaada mkubwa kwa Wananchi ambao wengi wao wanashindwa kupata huduma za kisheria kutokana na kipato au kutokuwa na uelewa juu ya masuala hayo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wakazi wa Mkoa wa DSM kupata msaada wa kisheria bila malipo

    June 13, 2025
  • Viongozi wa Jiji la DSM wafanya tafakuri ya utekekezeji wa miradi ya mwaka wa fedha 2025/2026

    June 12, 2025
  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.