• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Viongozi wa Jiji la DSM wafanya tafakuri ya utekekezeji wa miradi ya mwaka wa fedha 2025/2026

Tarehe iliyowekwa: June 12th, 2025

Na Mariam Muhando.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema wamefanya tafakuri ya mafanikio alioyafanya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan hususani kwenye Sekta ya Elimu Sekondari ambapo wamepokea zaidi ya Bilioni 36 katika kuboresha miundombinu kwa kujenga shule na maeneo mengine.

Mhe. Mpogolo ameyasema hayo leo Juni 12, 2025 wakati wa kikao kazi cha maelekezo ya utekelezaji wa Miradi ya Sekta ya Elimu Sekondari kwa Wakuu wa Shule na Maafisa Elimu Kata Kwa lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji wa Miradi hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 205/2026 kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Azania.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya ukamilishwaji wa miradi kwa wakati ikiwemo lakini sasa miradi hiyo inaenda kwa kasi na ana imani kuwa itakamilika kwa wakati.

"Mheshimiwa Rais ametuletea fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya, ukarabati wa madarasa pia ametuletea zaidi ya Bilioni 1 kwa ajili ya ununuzi wa meza na viti na hivi vyote vimekamilika hivyo nampongeza Mkurugenzi wa Jiji hili kukamilisha miradi hiyo".Alisema Mhe. Mpogolo.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndugu Elihuruma Mabelya amesema Halmashauri ya Jiji iimetenga zaidi ya Shilingi Bilioni 6.2 ili ziweze kutekeleza ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya Jiji katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026.

"Namshkuru Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwa kazi kubwa anayoifanya ikiwemo ya hamasa na usimamizi wa utekelezaji wa shughuli za Jiji hili na kupata mafanikio kwani tumeshuhudia matokea mazuri yanayoendelea kupatikana "Alisema Mabelya.

Kikao hicho kimejikita kutathmini, kuhakiki mapungufu yaliojitokeza katika utekelezaji wa miradi ili kuweza kujiandaa na mwaka wa fedha 2025/2026.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Wakazi wa Mkoa wa DSM kupata msaada wa kisheria bila malipo

    June 13, 2025
  • Viongozi wa Jiji la DSM wafanya tafakuri ya utekekezeji wa miradi ya mwaka wa fedha 2025/2026

    June 12, 2025
  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.