• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

"Twende tukafanye kazi kwa uzalendo na ubunifu" - Mkurugezni Mabelya

Tarehe iliyowekwa: August 15th, 2025

Na: Doina Mwambagi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Ndugu Elihuruma Mabelya, leo tarehe 15 Agosti 2025, ameongoza kikao cha ndani na watumishi wa Halmashauri kilichofanyika katika Ukumbi wa Karimjee, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa majukumu, kuboresha maslahi ya watumishi, na kuimarisha ukusanyaji wa mapato.

Akizungumza katika kikao hicho, Mabelya amewashukuru watumishi kwa mshikamano na juhudi walizoonesha katika mwaka wa fedha uliopita, hatua iliyochangia ongezeko la makusanyo ya mapato ya Halmashauri.

“Kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Halmashauri imelenga kufikia makusanyo ya shilingi bilioni 156. Niwaombe watumishi wenzangu twendeni tukafanye kazi kwa bidii, ubunifu na uzalendo, tukifuata kanuni na sheria ili tufanikishe malengo haya muhimu kwa maslahi mapana ya wananchi, kwani asilimia 70 ya mapato yanarudi kwenye miradi ya maendeleo na asilimia 30 ni kwa ajili ya matumizi mengine ya Halmashauri,” amesisitiza Mabelya.

Aidha, Mkurugenzi Mabelya ameeleza kuwa Halmashauri imeadhimia kuboresha maslahi ya watumishi wake ili kuongeza ufanisi katika kazi, kwa kuhakikisha mazingira bora ya kazi, upatikanaji wa vifaa muhimu, na kutoa mafunzo endelevu yatakayoongeza tija.

Sambamba na hilo Ndugu Mabelya amewahakikishia watumishi hao kufanya nao vikao kila baada ya robo ya mwaka  kwa lengo la kujafdili  maendeleo ya kazi, kushughulikia changamoto, na kuimarisha mshikamano wa pamoja katika utekelezaji wa majukumu.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Katibu Tawala wa Ilala, viongozi na watumishi kutoka idara mbalimbali katika Halmashauri hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Dar City yatoshana nguvu na Kibondo DC

    August 17, 2025
  • Halmashauri ya Jiji la DSM yaendelea kutoa vichapo mashindano ya SHIMISEMITA Tanga

    August 17, 2025
  • Jiji la DSM laiduwaza Monduli mchezo wa Volleyball

    August 16, 2025
  • Halmashauri ya Jiji la DSM "yaishushia kipigo" Halmashauri ya Mji Handeni

    August 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.