• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mikopo ya asilimia 10 imekuza mitaji ya wajasiriamali wadogo - DC Mpogolo

Tarehe iliyowekwa: July 7th, 2025

Na: Shalua Mpanda

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amesema mikopo inayotolewa na halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kupitia makusanyo yake ya ndani(mikopo ya asilimia 10),imeweza kukuza mitaji na kuboresha biashara kwa wajasiriamali.

Mpogolo ameyasema hayo wakati wa kutembelea na kukagua mabanda ya wafanyabiashara wajasiriamali waliowezeshswa kupitia mikopo hiyo katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara 'Sabasaba" ndani ya viwanja vya Maonesho hayo vilivyopo wilayani Temeke.

Aidha amewataka wajasiriamali hao kutumia mikopo hiyo kama njia ya kujikwamua kiuchumi huku akisisitiza matumizi sahihi ya mikopo hiyo.

"Nimshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mikopo hii ambayo imekuwa chachu ya mabadiliko chanya ya kiuchumi kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu". Alisema

Mkuu huyo wa Wilaya amewahakikishia wajasariamali hao kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha inaendelea kutoa mikopo hiyo isiyo na riba kwa vikundi ambavyo vitakidhi vigezo na kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025, Halmashauri ya Jiji imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 18 ambazo zimeshaanza kutolewa kwenye vikundi.

Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam inashiriki Maonesbo haya ya 49 ya Biashara ya Kimataifa na imesogeza huduma mbalimbali zikiwemo utoaji wa leseni mbalimbali, elimu na ushauri wa kitaalamu pamoja na huduma nyingine.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mikopo ya asilimia 10 imekuza mitaji ya wajasiriamali wadogo - DC Mpogolo

    July 07, 2025
  • Wananchi waendelea kupata huduma kwenye banda la Jiji la DSM Sabasaba

    July 02, 2025
  • DC Mpogolo ahimiza ushirikiano kwa askari wa kike

    June 27, 2025
  • "Tutashirikiana na CRDB kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati" - DC Mpogolo

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.