• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Katibu Tawala Mkoa wa DSM asisitiza matumizi ya teknolojia ukusanyaji wa mapato

Tarehe iliyowekwa: September 10th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam ndugu Abdul Mhinte leo hii amekutana na watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Makao Makuu kwa lengo la kujitambulisha mara baada ya miezi kadhaa ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo katika mkoa wa huu.

Akizungumza na Watumishi hao wwkiongozwa na Katibu Tawala Wilaya ya Ilala Bi. Charangwa Selemani na Mkurugenzi wa Jiji Elihuruma Mabelya, Katibu Tawala huyo wa Mkoa amesema lengo kuu la Halmashari ni kukusanya mapato na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Amesema imefika wakati sasa Halmashauri kujikita zaidi kwenye ukusanyaji wa mapato kwa kutumia teknolojia ili kuweza kuwafikia walipaji wengi zaidi na kupunguza kazi za ufuatiliaji.

Baadhi ya watumishi waliopata nafasi ya kuongea katika kikao hicho, wamempongeza Mkurugenzi wa Jiji hili kwa kuwa msikivu katika baadhi ya mambo wanayopeleka kwake katika shughuli zao za kila siku.

"Dunia ya sasa hivi ni ya Sayansi na Teknolojia, vivyo hivyo hata kwenye suala la ukusanyaji wa mapato ni lazima tutumie teknolojia kwa kuwa Dunia ndipo inapoenda huko’. Alisisitiza

Akizungumza wakati wa kumkaribisha mgeni Rasmi,Katibu Tawala wilaya ya Ilala Bi. Charangwa alisema kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kwa sasa inakwenda kasi katika miradi ya maendeleo huku akimshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha nyingi za Miradi katika Wilaya hii.

Kikao hiki ni cha kwanza kwa Katibu Tawala huyo kwa Watumishi hao toka ateuliwe na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan takribani miezi miwili iliyopita.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 06, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Mkoa wa DSM asisitiza matumizi ya teknolojia ukusanyaji wa mapato

    September 10, 2025
  • Dar City yaendeleza ubabe SHIMISEMITA, yatinga fainali Volleyball (KE)

    August 27, 2025
  • Dar City yaibuka kinara mashindano ya Kwaya SHIMISEMITA 2025

    August 25, 2025
  • Wanamichezo SHIMISEMITA watakiwa kutumia michezo kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.