• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Chakula na Dawa Halmashauri ya Jiji DSM yakutana

Tarehe iliyowekwa: September 19th, 2025

Kamati ya Chakula na Dawa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam chini ya Mwenyekiti wake Mkurugenzi wa Jiji hilo Elihuruma Mabelya leo hii Septemba 19, 2025 imekutana na kufanya kikao chake cha kwanza kujadili mambo mbalimbali.

Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mstahiki Meya, pamoja na mambo mengine kimejadili maombi ya wadau mbalimbali walioomba vibali vya kufanya biashara ya duka la madawa ya binadamu (Pharmacy).

Akizungumza mara baada ya kikao hicho, Mwenyekiti Mabelya alisema lengo la Kamati hiyo ni kuwalea na kuwasaidia wadau hao kufanya biashara hiyo kwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa na si kuwakwamisha.

Aidha, amemtaka Mfamasia wa Halmashauri ya Jiji kuhakikisha wanatoa elimu kwa wadau hao ili kuondoa malalamiko kwa wale wenye nia ya kuanzisha biashara hiyo.

"Ni vyema kama kuna taratibu za kufuatwa wajulishwe na kupewa elimu ili kukidhi vigezo vinavyohitajika". Alisisitiza Mabelya

Kwa upande wake Katibu wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji Dkt Frank Chiduo alisema kazi ya Kamati hiyo ni kupitia maombi ya vibali vya kuanzisha maduka ya dawa na kuyapitisha yale ambayo yamekidhi vigezo.

Kamati hiyo yenye wajumbe kutoka Halmashauri ya Jiji wakiwemo Mweka Hazina, Mwanasheria, Afisa Biashara na wengine hukutana kila baada ya miezi mitatu kujadili mambo mbalimbali yanayohusu Dawa na Chakula.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka vijana kupewa nafasi

    October 10, 2025
  • Taasisi ya CRDB Bank Foundation yakabidhi pikipiki na bajaji kwa vikundi vya wanawake na vijana

    October 04, 2025
  • Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

    September 27, 2025
  • "Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

    September 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.