Ili upate kibali cha miezi 6 au mwaka 1 kuingia/kuegesha katikati ya Jiji (CBD) kwa pikipiki za magurudumu mawili/matatu unapaswa kuwa na viambatisho vifuatavyo:
KAMPUNI – BARUA ZA MAOMBI
MTU BINAFSI – BARUA YA MAOMBI
Gharama za kibali kwa miezi 6 ni Sh. 100,000 na Sh. 180,000 kwa mwaka 1
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 9084
Simu ya mezani: +255 22 2123346
Namba ya Mkononi: 0715046974
Barua Pepe: cd@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.