Maombi ya upangishaji wa maeneo ya biashara, uwekezaji na huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi ya Abiria yaendayo mikoani na nje ya nchi katika eneo la Mbezi Luis yanafanyika kwa njia ya mnada wa mtandao kuanzia tarehe 09 hadi 25 Novemba, 2020 kupitia anuani: pangisha.tamisemi.go.tz
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 9084
Simu ya mezani: +255 22 2123346
Namba ya Mkononi: 0715046974
Barua Pepe: cd@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.