Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda akipokea Pikipiki za kisasa 10 kwa ajili ya Askari wa Usalama Barabarani zenye thamani ya Shilingi Milioni 400 kutoka kampuni ya utengenezaji wa Pikipiki ya TONGBA ya China.
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.