• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Vikundi vya Ukusanyaji, Uchakataji na Urejelezaji taka vyapokea vifaa ya usafi

Tarehe iliyowekwa: June 19th, 2024

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira kwa kushirikiana na Taasisi za Mazingira Plus na TACSS kwa ufadhili wa umoja wa Majiji duniani (C40 Cities) leo Juni 19, 2024 wamekabidhi vifaa kwa wanufaika wa mradi Jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, hafla iliyofanyika katika Ofisi za Kata ya Vingunguti Jijini humo.

Akiongea wakati wa hafla hiyo, Afisa Mazingira wa Jiji la Dar es Salaam ambaye ni Mratibu wa mradi huo Bi. Monica Mosha amesema “Mradi Jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi umeanza kutekelezwa Oktoba 2023 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 ukiwa umelenga kusaidia uendelezaji wa njia bora na endelevu za kuthibiti taka oza (Organic Waste) pamoja na kuwajengea uwezo Maafisa Afya kusaidia uanzishwaji wa njia ya udhibiti wa taka oza kupitia vikundi vya Jamii na wabeba taka ambapo kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam mradi huu tumeutekeleza katika Kata ya Vingunguti kwani kutokana na ufinyu wa maeneo magari ya Taka hushindwa kupita hivyo taka nyingi hutupwa mto msimbazi na ndio maana tukatekeleza mradi huu Kata ya Vingunguti ili kuzuia utupaji taka Mto Msimbazi.”

Sambamba na hilo, Bi. Mosha ameendelea kusema “vifaa vinavyotolewa kwa vikundi vya kukusanya, kuchakata na kurejeleza taka ni pamoja na gum boots 60, Reki 10, Chepeo 10, fork spade 10, mizani 10, Gloves 20, toroli 10, mikokoteni 10, viroba 6000, reflector 120, overall 20, ujenzi wa kituo cha kupokelea taka rejelezi chenye jumla ya chemba 5, sehemu za kuzalishia chakula cha kuku chenye jumla ya chemba 4, kifaa cha kuchakata majani, chekecheke za mboji 4 pamoja na eco-bins 3 ambapo kupitia vifaa hivi tunaamini mazingira yetu yatakua katika hali ya usafi na tutaepukana na magonjwa ya mlipuko hivyo niwaombe mvitumie vifaa hivyo kwa utunzaji ili viweze kudumu kwa muda mrefu.”

Akitoa Shukrani zake kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Meneja wa Kanda namba 3 Bw. Kefa Dan Gembe ameeleza kuwa Mradi huu ni muhimu kwani utaleta matokeo chanya katika utunzaji wa mazingira na afya za wananchi wa Jiji la Dar es Salaam hususani wananchi wa Vingunguti huku akihakikisha kusimamia na kuendesha mradi huu kwa  ufanisi mkubwa kwa lengo la kuendelea kupendezesha Jiji na kulinda afya za wanajamii.






Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.