• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Maafisa Chuo cha Ukamanda na Unadhimu wafanya ziara ya mafunzo Halmashauri ya Jiji

Tarehe iliyowekwa: October 12th, 2020

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam leo tarehe 12 Oktoba, 2020 imepokea ugeni wa maafisa wa kijeshi kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu kilichopo eneo la Duluti nje kidogo ya Jiji la Arusha kwa ajili ya ziara ya mafunzo.

Ujumbe huo wa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania na majeshi mengine ya Ulinzi kutoka nchi za Afrika ukiongozwa na Brigedia Generali S.D. Ghuliku umetembelea ofisi za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kupokelewa na mwenyeji wao Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam John Masero.

Maafisa hao wanaochukua mafunzo ya Ukamanda na Unadhimu wa Jeshi walifanya mazungumzo na Mkurugenzi Masero pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo ya mafunzo, ujumbe huo uliokuwa na maafisa wasiopungua 50 ulitaka kujifunza katika maeneo yafuatayo:

•Uongozi na Utawala wa Sheria

•Majukumu/Shughuli kuu za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

•Ushirikiano kati ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali Kuu pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa za Jiji la Dar es Salaam

•Shughuli za kiuchumi kwa jamii katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

•Vyanzo vya Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na ukusanyaji wake

•Ushirikishwaji wa maoni ya Wananchi katika uongozi

•Juhudi za uhifadhi wa mazingira

•Changamoto zinazoikumba Halmashauri

•Mipango na matarajio ya baadae

•Na masuala mengine ya maendeleo.

Kupitia mawasilisho ya taarifa, Maafisa hao wamepata fursa ya kujifunza kuhusu shughuli za kila siku za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo jijini Dar es Salaam.

Kwa upande mwingine uongozi wa Halmashauri ya Jiji umeeleza mafanikio ya Serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi mahiri wa Mhe. Rais, Dkt. John Pombe Magufuli  kwa kipindi cha miaka mitano ikiwemo ujenzi wa miundombinu mbalimbali yenye lengo la kuinua kipato cha wananchi wa Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.