• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jiji la DSM kushirikiana bega kwa bega na Jiji la Hamburg kuboresha Bustani ya Mimea

Tarehe iliyowekwa: December 1st, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu ameahidi kushirikiana na Jiji la Hamburg katika kuboresha bustani ya Mimea inayopatikana mtaa wa Luthuli katika Kata ya Kivukoni Jijini Dar es Salaam.

Bi. Tabu Shaibu ameyasema hayo leo Disemba Mosi, 2023 wakati wa hafla ya siku ya watu iliyoandaliwa na Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Jiji laHamburg yenye lengo la kutoa mrejesho kwa wananchi na wadau wa maendeleo kuhusu kilicho had ukiwa katika warsha ya siku sita ya jinsi ya kuboresha bustani ya mimea ili waweze kutoa mawazo yao kuhusu uboreshaji wa bustani hiyo.

Akiendelea kuongea katika hafla hiyo Bi. Tabu Shaibu amesema "Nipende kuwashukuru wenzetu kutoka ujerumani kwani siku tano wameonesha msimamo wao na mchango wao mkubwa katika kutekeleza mradi huu hivyo niwaahidi yote yaliyojadiliwa yanaingia kwenye kumbukumbu za utekelezaji kwasababu tayari Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumetenga fedha kwaajili ya uboreshaji wa bustani yetu hivyo nitoe wito kwa kila mmoja atakayepewa majukumu kuyasimamia vizuri pia niwahakikishie uhusiano huu utadumi na kila mmoja atajifunza kutoka kwetu.”

Kwa upande wake Kansela wa Seneti wa Jiji laHamburg ambaye ni Mkurugenzi wa Maendeleo na Ushirikiano wa Miji Dada na Dar es Salaam Dr. Anna Catarina Cebode ameeleza kuwa “Tumekua na wiki ya mafanikio kwani siku tano za warsha zimetufanya tubadilishane mawazo na uzoefu na pia tumeona ukarimu wenu hivyo nitoe wito kwa wananchi kushirikiana na vikundi vyetu ili kutoa mawazo chanya yatakayosaidia kuboresha bustani yetu ya mimea.”

Aidha katika kutekeleza mradi huu kutakua na vikundi kazi vinne ambavyo vitawezesha ukamilishaji wa Bustani ya mimea, vikundi hivyo ni pamoja na kikundi cha kuvuna maji, kikundi cha uhifadhi wa mimea, kikundi cha historia na urithi pamoja na kikundi cha elimu, matukio na mgahawa ambapo vikundi hivi vitakua na mchango mkubwa katika kuhakikisha bustani yetu inakua imara kiutalii,elimu na biashara.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.