• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wafanya mafunzo ya namna ya Utendaji kazi katika Idara hiyo Mpya

Tarehe iliyowekwa: March 29th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara leo Machi 29,2023 wameanza rasmi mafunzo ya kujifunza namna ya utendaji kazi ikiwa idara hiyo ni mpya.

Mafunzo hayo yanayofanyika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam yatawezeshwa kwa siku 10 na wawezeshaji mbalimbali kutoka Wizara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMi), Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), pamoja na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA).

Akifungua Mafunzo hayo kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu amewataka watumishi kutoka Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuhakikisha wanakua makini kusikiliza yote watakayoelekezwa katika mafunzo hayonili kuweza kufikia lengo lililokusudiwa.

Aidha Bi.Tabu Shaibu ameweza kumshukuru Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuanzaisha wizara mpya ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ambayo italeta tija katika kukuza sekta ya Viwanda na biashara nchini. “Nipende kutoa Shukrani zangu za dhati kwa Rais wetu kwa kuanzisha wizara mpya ya Uwekezaji ,Viwanda na Biashara pia niwashukuru wawezeshaji wote mlioungana na Watumishi wetu kutoka Jiji la Dar es Salaam kujitolea kuja kuwapa mafunzo haya ambayo yatakua na manufaa makubwa kwa Idara yetu kupanga mikakati mathubuti ya namna ya kuendesha biashara zetu na kuweza kukuza mapato ya Halmashauri kwa kiwango cha juu zaidi hivyo niwaombee msikilize kwa makini na nimatumaini yangu baada ya mafunzo haya mtakua mmefikia lengo lililokusudiwa”.

Vilevile Bi.Tabu Shaibu alitoa wito kwa Watumishi wa Idara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara kuhakikisha ndani ya siku kumi za mafunzo wahakikishe wamepata walichokikusudia pia wakimaliza kazi wafanye kazi kwa kushirikiana ili kuweza kupata mafanikio ya pamoja katika kuongeza mapato ya Halmashauri ya Jiji na Nchi kwa ujumla wake.

Kwa Upande wake Afisa Biashara Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Bw.Amos Jeremiah ameeleza kuwa “Sisi kama watendaji wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara tumeungana na wenzetu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha tunawapa muongozo na uelewa wa namna ya utendaji kazi katika Idara mpya ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha majukumu ya kazi yanatekelezwa kwa kiwango cha juu zaidi.”

Naye Mwezeshaji kutoka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Bw. Ishara Nzamilisi ameeleza kuwa kwa kushirikiana na Wadau kutoka BRELA na TANTRADE ni matumaini yao mafunzo haya yataenda sambamba na ilivyotarajiwa kwani mada mbalimbali zitatolewa kwa mujibu wa utaratibu lengo likiwa ni kuhakikisha sekta ya viwanda na Biashara inakua kwa kasi na maendeleo ya nchi kukua zaidi.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.