• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Benki ya NMB yaahidi kusaidia Madawati na Komputa Shule ya Sekondari Juhudi

Tarehe iliyowekwa: October 13th, 2023

Meneja wa NMB tawi la Airport Bw. Restus Asenga kwa niaba ya Mgeni rasmi Bw. Dismas Prosper ambaye ni Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam amewaahidi Walimu pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Juhudi kutatua changamoto ya Madawati na Kompyuta wanayoikabili shuleni humo.

Hayo ameyasema alipokua akizungumza katika Mahafali ya 19 ya Kidato cha Nne Shule ya Sekondari Juhudi yaliyofanyika katika viwanja vya shule hiyo iliyopo Gongolamboto Jijini Dar es Salaam.

Bw. Asenga amesema Bank ya NMB imekua na mchango mkubwa katika kuhakikisha wanaboresha elimu katika shule za Msingi na Sekondari kwa kurudisha faida zao kusaidia jamii kwani Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya juhudi kibwa sana katika kuhakikisha Sekta ya elimu nchini inakua kwa kasi zaidi.

“Elimu ni msingi mzuri wa mwanafunzi kuboresha maisha yake, sisi kama NMB imekua niutamaduni wetu kurudisha faida kwa jamii kwa kuhakikisha tunasaidia sekta ya elimu kuendeleakukua kwa kasi hivyo kwa niaba ya Meneja wa Kanda NMB Bank tunaahidi kushirikiana na walimu kusukuma gurudumu hili kufika linapohitajika hivyo niwaahidi changamoto za upungufu wamadawati pamoja na kompiuta tumelipokea na tutalitatua kwa wakati.”

Awali akisoma risala kwa mgeni rasmi Mkuu wa Shule ya Sekondari Juhudi Mwl. Happiness Pallangyo amewaahidi wazazi na walezi kuwa kwa maandalizi waliyoyafanya kuwaandaa wanafunzi ni matumaini yao kuwa Wanafunzi hao wanaokwenda kuhitimu watafanya vizuri katika mitihani wao wa kumaliza elimu ya sekondari inayotarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 13, 2023 huku akimuahidi mgeni rasmi kusimamia Kikamilifua taaluma, nidhamu na michezo lengo likiwa ni kutekeleza adhma ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuhakikisha Sekta ya Elimu inakua bora zaidi.

Sambamba na hilo Mwl. Pallangyo ameweza kushukuru viongozi wote wa Mkoa wa DSM, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, viongozi wa Tarafa, Kata na Mitaa pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo NMB Bank, Letshego Bank, vyombo vya Ulinzi na Usalama ,TBA, CAMFED na wafadhili kutoka Marekani (SPY BASKETBALL ACADEMY) kwa mchango wao mkubwa wa kuhakikisha maendeleo ya Shule ya Sekondari Juhudi yanakua kwa kasi katika kila sehemu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.