• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Walimu Wakuu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo wafanya ziara ya kimafunzo Shule ya Msingi Olympio

Tarehe iliyowekwa: February 15th, 2024

Walimu Wakuu 42 wa Shule za Msingi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo leo tarehe 15 Februari, 2024 wamefanya ziara ya kimafunzo katika Shule ya Msingi Olympio yenye lengo la kujifunza mbinu za kufundisha na masuala mengine muhimu yatakayowawezesha kupandisha kiwango cha ufaulu.

Akiongea katika mafunzo hayo, Afisa Elimu Taaluma Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mwl. Joseph Bureta amesema wameichagua Shule ya Msingi Olympio kwani ni Shule ya Serikali inayofanya vizuri kitaaluma katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa na kumshukuru Mwalimu Mkuu kwa mapokezi mazuri.

“Lengo la kuja shuleni hapa ni kujifunza namna ya kuongoza shule na namna ya kusimamia mikakati ya kuinua taaluma katika Wilaya ya Bagamoyo. Tumeona jinsi walimu wanavyojituma na kuwasimamia wanafunzi licha ya kuwa na wanafunzi wengi lakini hali ya mazingira ni safi na utulivu wa wanafunzi unaridhisha. Nina imani kwa elimu hii tuliyoipata hapa walimu nilioambatana nao wataitendea kazi na kuleta mabadiliko chanya ya kitaaluma katika Wilaya yetu na Mkoa wa Pwani." Amesema Mwl. Bureta

Aidha, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Olympio Mwl. Reuben Mduma Gadi amesema ”Tunayo furaha kuwakaribisha Walimu Wakuu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo waliokuja kujifunza baada ya kuona shule yetu ina mafanikio kitaaluma miaka mitatu mfululizo. Lakini sisi kama Shule ya Olympio tumepata mengi kutoka kwao ambayo yatatusaidia kuboresha zaidi ufundishaji kwenye shule yetu."

Sambamba na hilo amesema “Namshukuru Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani aametusaidia kuhakikisha miundombinu ya shule inakua katika hali nzuri na uhakika wa upatikanaji wa vitabu shuleni, na kusaidia kwenye ujenzi wa jengo la ghorofa. Pia namshukuru Mkurugenzi wa Jiji kua nasi bega kwa bega. Vile vile nawashukuru walimu wote kwa kufanya kazi kwa bidii na ushirikiano." Ameongeza Mwl. Gadi.

Awali akitoa mafunzo, Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo amesema ili kuleta ufanisi zaidi, utoaji wa elimu shuleni hapo ni shirikishi ambapo hushirikisha walimu wa Taaluma, wakuu wa idara, wakuu wa Vitengo na wadhibiti ubora.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.