Wednesday 20th, January 2021
@Dodoma
Tanzania husherehekea maadhimisho ya Uhuru tarehe 9 Desemba kila mwaka. Katika siku hii mwaka 1961, Tanzania wakati huo Tanganyika ilipata uhuru kutoka kwa Uingereza.
Siku hiyo, Desemba 9, kulikuwa na fashifashi, shamrashamra na furaha jijini Dar es Salaam. Sherehe rasmi zilifanyika Uwanja wa Taifa na wakati huo huo kulikuwa na Mwenge wa Uhuru uliopelekwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
Kwa heshima ya mafanikio haya ya kihistoria, Serikali inafuatilia sekta zake kwa kutaja mafanikio yake, matatizo na changamoto ilizozikabili tangu Uhuru na kupanga mwelekeo wa baadaye.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 9084
Simu ya mezani: +255 22 2123346
Namba ya Mkononi: 0715046974
Barua Pepe: cd@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.